Tuesday, April 12, 2016
Beki Kisiki Wa Manchester City Nje Tena Leo Dhidi Ya PSG
Nahodha wa Manchester City Vicent Kompany atakosa tena mechi ya robo fainali klabu bingwa Ulaya maarufu kama UEFA Champions League leo katika uwanja wa Etihad dhidi ya PSG.
"Hayuko fiti 100%, haiwezekani Kumchezesha" Alisema Manuel Pelegrini Meneja wa Manchester City.
Kompany (30), Hajawahi kucheza mechi yoyote tangu kuumia kwake katika mchezo dhidi ya Dynamo Kiev mwezi Machi mchezo ambao uliisha kwa suluhu ya 0 - 0. City na PSG wanakutana ikiwa ni marudiano ya mchezo wa kwanza uliochezwa nchini Ufaransa na kushuhudia timu hizo zikitoka sare ya 2 - 2.
Kompany amekuwa akiandamwa na majeruhi siku za hivi karibu kitu ambacho kinaifanya Man City kusuasua katika eneo lake la ulinzi.
Related Posts:
ALLEGRI AKIRI KUWEPO MAZUNGUMZO NA MAN UNITED KUHUSU POGBA Meneja wa Juventus Massimiliano Allegri amethibitisha kuwepo kwa mazungumzo kuhusu uhamisho wa Paul Pogba kwenda Manchester United kuwa bado yanaendelea. Kuelekea kwenye mechi yao dhidi ya Atletico Madrid kwenye mashind… Read More
VIDEO: INTERVIEW YA KWANZA YA DAVID MOYES SUNDERLAND David Moyes ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Sunderland akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Sam Allardyce aliyekabidhiwa timu ya taifa ya Uingereza. Hii hapa chini Interview Yake ya kwanza mara tu baada ya kutang… Read More
VIDEO: DORTMUND 4 - 1 MAN U TAZAMA MAGOLI YOTE Tazama Video Ya Magoli Yote Hapa Chini Ungana Na Soka24 Facebook, Bonyeza HAPA Kwa Habari Za Haraka Za Soka Kote Ulimwenguni. … Read More
SUNDERLAND YAMRUDISHA DAVID MOYES UINGEREZA Klabu ya Sunderland imemteua kocha wa zamani wa Manchester United David Moyes kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo baada ya Sam Allardyce kukabidhiwa kikosi cha timu ya taifa ya England. Moyes anachukua mikoba ya Sam Allardyce k… Read More
MEDEAMA YAICHIMBA MKWARA YANGA Klabu ya Medeama SC imetoa onyo kwa Yanga kuelekea mchezo wao wa marudiano utakaofanyika siku ya Jumatano huko nchini Ghana. Mkwara huo umekuja baada ya Medeama kushinda katika mchezo wake dhidi ya Liberty Professionals w… Read More
0 comments:
Post a Comment