Tuesday, April 12, 2016
Beki Kisiki Wa Manchester City Nje Tena Leo Dhidi Ya PSG
Nahodha wa Manchester City Vicent Kompany atakosa tena mechi ya robo fainali klabu bingwa Ulaya maarufu kama UEFA Champions League leo katika uwanja wa Etihad dhidi ya PSG.
"Hayuko fiti 100%, haiwezekani Kumchezesha" Alisema Manuel Pelegrini Meneja wa Manchester City.
Kompany (30), Hajawahi kucheza mechi yoyote tangu kuumia kwake katika mchezo dhidi ya Dynamo Kiev mwezi Machi mchezo ambao uliisha kwa suluhu ya 0 - 0. City na PSG wanakutana ikiwa ni marudiano ya mchezo wa kwanza uliochezwa nchini Ufaransa na kushuhudia timu hizo zikitoka sare ya 2 - 2.
Kompany amekuwa akiandamwa na majeruhi siku za hivi karibu kitu ambacho kinaifanya Man City kusuasua katika eneo lake la ulinzi.
Related Posts:
MAKUNDI NA VIKOSI VYA TIMU ZOTE EURO 2016 Macho na masikio ya mashabiki wa mpira kote duniani yataelekezwa nchini Ufaransa ambako michuano ya Euro 2016 yanatarajiwa kutimua vumbi, kuanzia June 10 2016 hadi July 10 2016. Mataifa 24 yatasafiri kuelekea nchini Uf… Read More
YANGA SASA KUCHEZA HATUA YA MAKUNDI CAF CONFEDERATION CUP TIMU ya Dar Young Africans imefuzu kucheza hatua ya makundi kombe la shirikisho barani Afrika baada ya kushinda kwa tofauti ya jumla ya magoli baada ya mechi yao na Sagrada iliyochezwa leo kumalizika kwa Yanga kufungwa … Read More
REKODI ZA JURGEN KLOPP KATIKA FAINALI 5 ALIZOCHEZA KOCHA wa Liverpool Jurgen Klopp leo atakabiliana na mtihani mwingine mzito pale timu yake itakapochuana na Sevilla katika fainali ya Europa League. Sevilla wanauzoefu mkubwa wa kucheza fainali kombe hili kwani had… Read More
MIJENGO 10 YA KIFAHARI YA MASTAA WA SOKA DUNIANI Baada ya kushuhudia mashindano mbalimbali duniani yakimalizika katika tasnia ya michezo hasa mpira wa miguu na kuona timu zikishinda na zingine kushindwa na huku mengine yakianza, basi tutoke nje ya uwanja na kuangazia maish… Read More
LIVERPOOL WAPOKEA KICHAPO KIZITO FAINALI EUROPA Kombe la Europa League limefikia tamati jana kwa mechi ya fainali iliyowakutanisha Liverpool ya nchini Uingereza na Sevilla kutoka Hispania. Fainali hii ilikuwa ni ya tatu mfululizo kwa Sevilla, ambao walishinda fai… Read More
0 comments:
Post a Comment