Sunday, March 5, 2017

Michael Owen na Martin Keown waipa ushindi Tottenham


Michael Owen na Martin Keown waweka hadharani utabiri wao Tottenham vs Everton
Mchezaji wa zamani wa Manchester United  Michael Owen ameitabiria ushindi  tottenham dhidi ya Everton katika dimba la White Hart Lane.

Owen alisema “namwaangalia Harry Kane na Romelu Lukaku  naona magoli kutoka kwao lakini mwenyeji atashinda mchezo huu”

Utabiri wa Owen ni kuwa timu zote zitapata magoli lakini Tottenham watashinda mchezo huo. Owen aliandika kwenye Betvictor.com.

Kwa upande wa mchezaji wa dhamani wa arsenal Martin Keown alikaririwa na gazeti la Daily Mail akizungumzia mchezo wa leo kwa kusema “Tottenham wapo vizuri na kuwa nyumbani kutawaongezea nguvu”.


“si kazi ndogo kuishinda Everton lakini nasema Matokeo yatakuwa 2 - 1”.

Related Posts:

  • ARSENE WENGER KUSAINI MKATABA MWINGINE NA ARSENAL Uongozi wa klabu ya Arsenal umepanga kumwongeza mkataba wa miaka 2 kocha wake Arsene Wenger mkataba ambao anatarajiwa kusaini October mwaka huu, lengo likiwa ni kupata muda wa kutosha wa kumtafuta atakaekuwa mrithi wa We… Read More
  • HIZI NDO BLA BLA ZA MOURINHO NA MAN U TANGU 2015 Jose Mourinho amekuwa akihusishwa na kujiunga na United tangu Disemba 2015. Jose Mourinho amekuwa akihusishwa na kuchukua mikoba ya Van Gaal United tangu atimuliwe na Chelsea. Soka24 inakuletea mtiririko wa matukio ya… Read More
  • MAURICIO POCHETTINO AONGEZA MKATABA SPURS Kocha wa klabu ya Tottenham Spurs Mauricio Pochettino amesaini mkataba mpya na klabu hiyo utakaomuweka klabuni hapo hadi mwaka 2021. Pochettino alishatangaza wiki 2 nyuma kuwa alishafanya mazungumzo ya awali na klabu hiy… Read More
  • MOURINHO NA VAN GAAL KUFANYA KAZI PAMOJA UNITED Man U wameripoti kwamba wameamua kufanya mabadiliko ya Uongozi wa juu lakini Van Gaal atabaki United. Louis Van Gaal atapewa majukumu ya juu ya utawala katika klabu hiyo ili kumpisha Mourinho kuchukua nafasi hapo Unite… Read More
  • BAADA YA KUSHUKA DARAJA ASTON VILLA YAPIGWA MNADA Klabu ya soka ya Aston villa ambayo imeteremka daraja msimu huu katika ligi kuu ya England,hatimaye imenunuliwa na tajiri wa kichina Tony Xia ambaye ni mfanya biashara aliyewekeza katika sekta ya Michezo,Utalii,kilimo na afy… Read More

0 comments:

Post a Comment