Thursday, February 23, 2017

Kwa Heri Claudio Ranieri


Claudio Ranieri afungashiwa virago Kutokana na mwenendo mbovu wa Matokeo kwenye kilabu ya Leicester City.
Msimu huu kila timu imecheza michezo 25, na anaeongoza ligi Chelsea ana pointi 60, wakati bingwa mtetezi akiwa na pointi 21 tu. Yaani amezidiwa jumla pointi 42 na kinara wa ligi.

Kwa mwenendo huo mbovu kuanzia leo rasmi Ranieri sio kocha tena wa Leicester City.

Makamu mwenyekiti wa Leicester City Aiyawatt Srivaddhanaprabha amesema”yamekuwa maamuzi ya kwanza magumu kuyafanya ndani ya kipindi cha miaka saba”.

Jedwali lifuatalo linaonyesha Matokeo ya  Leicester City chini ya kocha Claudio Ranieri baada ya  25
Msimu
Nafasi
Kushinda
Kufungwa
Magoli Kufunga
Magoli kufungwa
pointi
2015/2016
1
15
2
47
27
53
2016/2017
17
5
14
24
43
21





Related Posts:

  • ZLATAN IBRAHIMOVIC ATANGAZA RASMI KUONDOKA PSG Paris: Zlatan Ibrahimovic amethibitisha ijumaa hii kuwa ataihama klabu ya Paris Saint-Germain mwishoni mwa msimu huu wa ligi, lakini Uongozi wa mabingwa hao wa ligi kuu nchini Ufaransa ligue 1 wamesema nyota huyo atarudi… Read More
  • SUPER MARIO AKUBALI KUJIUNGA NA MAN UNITED Manchester United wanakaribia kumalizana na mchezaji wa Sporting Lisbon Joan Mario. Mabosi wa United wamefanya mazungumzo mara kadhaa na mchezaji huyo mwenye miaka 23 raia wa Ureno na wakala wake anaamini dili hilo li… Read More
  • ARSENE WENGER KUSAINI MKATABA MWINGINE NA ARSENAL Uongozi wa klabu ya Arsenal umepanga kumwongeza mkataba wa miaka 2 kocha wake Arsene Wenger mkataba ambao anatarajiwa kusaini October mwaka huu, lengo likiwa ni kupata muda wa kutosha wa kumtafuta atakaekuwa mrithi wa We… Read More
  • KLABU 5 TAJIRI ZAIDI DUNIANI 2016 Real Madrid imetajwa kuwa ndio klabu tajiri zaidi duniani kwa mara ya 4 mfululizo, kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Forbes. Wababe hao wa Hispania Walibeba taji la Uefa Super Cup na Klabu Bingwa duniani (Fifa Club W… Read More
  • HATIMA YA VAN GAAL MAN UNITED YAWEKWA WAZI Louis Van Gaal amehakikishiwa na mabosi wa United kuwa ataendelea kubaki katika klabu hiyo hadi mwisho wa mkataba wake kwa mujibu wa ripoti ya Daily Star. Mdachi huyo anayeinoa United amekuwa akisemwa sana juu ya uwezo … Read More

0 comments:

Post a Comment