Thursday, February 23, 2017

Kwa Heri Claudio Ranieri


Claudio Ranieri afungashiwa virago Kutokana na mwenendo mbovu wa Matokeo kwenye kilabu ya Leicester City.
Msimu huu kila timu imecheza michezo 25, na anaeongoza ligi Chelsea ana pointi 60, wakati bingwa mtetezi akiwa na pointi 21 tu. Yaani amezidiwa jumla pointi 42 na kinara wa ligi.

Kwa mwenendo huo mbovu kuanzia leo rasmi Ranieri sio kocha tena wa Leicester City.

Makamu mwenyekiti wa Leicester City Aiyawatt Srivaddhanaprabha amesema”yamekuwa maamuzi ya kwanza magumu kuyafanya ndani ya kipindi cha miaka saba”.

Jedwali lifuatalo linaonyesha Matokeo ya  Leicester City chini ya kocha Claudio Ranieri baada ya  25
Msimu
Nafasi
Kushinda
Kufungwa
Magoli Kufunga
Magoli kufungwa
pointi
2015/2016
1
15
2
47
27
53
2016/2017
17
5
14
24
43
21





0 comments:

Post a Comment