Saturday, October 15, 2016

MATOKEO LIGI KUU BARA LEO SIMBA YATAKATA UHURU


Simba imeendeleza wimbi lake la ushindi msimu huu baada ya  leo kuifunga timu ngumu ya kagera sugar ya mkoani kagera katika mchezo ulichezwa uwanja wa Uhuru jiji Dar es salaam, na hii inamainisha samba imeshinda mchezo wake wa saba kati ya michezo 9 iliyocheza mpka sasa. Kikubwa leo ni mshambuliaji machachari sana wa simba shiza kichuya akiweka rekodi ya kufunga mechi ya tano mfululizo na kusababisha goli laa kwanza la la muzamir yassin baada ya kupiga kona ilyotua kichwani mwa mfungaji na kumuacha kipa ya kagera akiruka bila malengo.
Matokeo ni kama yanavyooneka hapa chini  
Simba 2 0 kagera  yassin, kichuya
Jkt ruvu 1  1 mwadui

Stand united 1 1 African lyon


Related Posts:

  • SIMBA SC WAIDUNGUA MTIBWA SUGAR NYUMBANI KWAO SIMBA ilishuka dimbani hivi leo kucheza na Mtibwa Sugar katika mchezo wao wa 29 wa ligi kuu Tanzania bara,Mchezo uliopigwa mjini Morogoro. Mchezo huo umemalizika kwa Simba SC kushinda kwa goli 1 - 0 goli lililofungwa na… Read More
  • TFF YAZIKUMBUSHA TENA KLABU ZA LIGI KUU 2016/17 Kwa mara nyingine, Bodi ya Ligi Kuu ya Shirikisho la Soka (TFF) imezikumbusha klabu zitakazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2016/17 kuwa mchakato wa wa utengenezaji kanuni umeanza tangu Mei 5, 2016. Bodi ya Ligi… Read More
  • AZAM FC YAICHAPA AFRICAN SPORTS Klabu Bingwa Afrika Mashariki na kati Azam FC ilikuwa ugenini jijini Tanga kupambana na African Sports katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama Vodacom. Azam FC wamefanikiwa kuibuka na ushindi katika mchezo h… Read More
  • NDANDA FC WAPANIA KUHARIBU SHEREHE YA YANGA Msemaji wa klabu ya Ndanda FC Idrisa Bandari amesema watahakikisha wanaifunga Yanga na kuharibu Sherehe yao ya kukabidhiwa kombe leo katika mchezo utakaopigwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar. Yanga wanaingia katika mc… Read More
  • YANGA WAKABIDHIWA RASMI KOMBE LAO KLABU Ya Yanga imekabidhiwa kombe lao jioni ya leo katika uwanja wa taifa mara tu baada ya kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Ndanda FC, mchezo ambao umemalizika kwa sare ya 2 - 2. Ndanda FC ndio walikuwa wa kwanza kupata… Read More

0 comments:

Post a Comment