Wednesday, July 27, 2016

VIDEO: MASHABIKI WA NAPOLI WALIVYOCHOMA MOTO JEZI YA HIGUAN

Mashabiki wa Napoli wamechukizwa na kitendo cha Gonzalo Higuan kujiunga na Mabingwa wa Seria A, klabu ya Juventus kwa kile walichodai kuwa kitendo hicho ni usaliti.
Katika kuonyesha kukerwa kwao na taarifa hiyo waliamua kuchoma moto Jezi ya mchezaji huyo pamoja na Magazeti yote ambayo yaliandika habari hiyo.


Tazama video hapa chini Uone wakati mashabiki hao wakichoma moto jezi ya Higuan
Like Ukurasa Wetu Wa Facebook, Bonyeza  HAPA 

0 comments:

Post a Comment