Saturday, July 16, 2016

VIDEO: GOLI LA SAMATA LILILOZUA GUMZO KATIKA ANGA LA SOKA

Mbwana Samata ameisaidia timu yake ya KRC Genk Kuibuka na ushindi wa magoli 2 - 0 dhidi ya Buducnost katika mchezo wa kwanza wa kufuzu kucheza fainali za Europa League 2016/17.


Katika mchezo huo Samata alifunga goli zuri sana ambalo limesifiwa na wadau wengi wa soka duniani kutoka na ubora wa goli hilo.


Tazama Video ya Goli Hilo Hapa Chini

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment