Saturday, July 16, 2016

VIDEO: GOLI LA SAMATA LILILOZUA GUMZO KATIKA ANGA LA SOKA

Mbwana Samata ameisaidia timu yake ya KRC Genk Kuibuka na ushindi wa magoli 2 - 0 dhidi ya Buducnost katika mchezo wa kwanza wa kufuzu kucheza fainali za Europa League 2016/17.


Katika mchezo huo Samata alifunga goli zuri sana ambalo limesifiwa na wadau wengi wa soka duniani kutoka na ubora wa goli hilo.


Tazama Video ya Goli Hilo Hapa Chini

0 comments:

Post a Comment