Saturday, July 16, 2016

RASMI: PAUL NONGA AONDOKA YANGA

Aliyekuwa mchezaji wa Yanga Paul Nonga ameondoka klabuni hapo na kujiunga na klabu ya Mwadui baada ya muda mrefu kuuomba uongozi wa klabu hiyo imuuze kwenye klabu ambayo atapata nafasi ya kucheza.
Paul Nonga akisaini mkataba wa kuichezea Mwadui FC

Ombi hilo la Nonga limekubaliwa na uongozi wa Yanga na hatimaye kumuuza mchezaji huyo katika klabu ya Mwadui na tayari Nonga ameshasaini mkataba na klabu hiyo tayari kwa kuanza kuitumikia katika msimu ujao wa ligi kuu Vodacom 2016/17.
Bonyeza Hapa Ku-Like Ukurasa Wa Soka24 Facebook

Related Posts:

  • YANGA WAMWONGEZEA MKATABA PLUIJM Mabingwa wa ligi kuu Vodacom na wawakilishi pekee Afrika Mashariki katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika (CAF CC), Yanga wamemwongezea mkatabawa miaka miwili kocha wao Hans Van Pluijm. Kocha huyo ambaye ame… Read More
  • PICHA ALIYOPOST MKEWE MOURINHO YAZUA UTATA UJIO WA POGBA MAN U Mashabiki wa Manchester United wamekuwa katika hali ya sintofahamu kuhusu ujio wa Pogba Man U hasa baada ya Mke wa Jose Mourinho kupost picha ambayo Mourinho amemjumuisha Pogba katika hesabu zake. Picha hiyo ilipostiwa k… Read More
  • RASMI: PAUL NONGA AONDOKA YANGA Aliyekuwa mchezaji wa Yanga Paul Nonga ameondoka klabuni hapo na kujiunga na klabu ya Mwadui baada ya muda mrefu kuuomba uongozi wa klabu hiyo imuuze kwenye klabu ambayo atapata nafasi ya kucheza. Paul Nonga akisaini mkata… Read More
  • TAARIFA YA WAKALA WA PAUL POGBA YAZUA GUMZO Uhamisho wa Paul Pogba kwenda Manchester United umezidi kuchukua sura mpya baada ya sasa hivi kuonekana dili hilo bado kabisa kukamilika. Wakala wa Pogba, Minola Raiola, ametumia akaunti yake ya twiter kukanusa uvumi una… Read More
  • SUNDERLAND YAMRUDISHA DAVID MOYES UINGEREZA Klabu ya Sunderland imemteua kocha wa zamani wa Manchester United David Moyes kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo baada ya Sam Allardyce kukabidhiwa kikosi cha timu ya taifa ya England. Moyes anachukua mikoba ya Sam Allardyce k… Read More

0 comments:

Post a Comment