Sunday, June 12, 2016

MATOKEO UCHAGUZI YANGA

MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA YANGA ULIOFANYIKA JANA.

M/KITI
1. Yussuf Mehboob Manji

MAKAMU M/ KITI

1. Clement Sanga

Wajumbe 8 Yanga ni:-

1. Omary Ameir
2. Siza Lyimo
3. Salum Mkemi
4. Thobius Lingalangala
5. Ayoub Nyenzi
6. Samwel Lukumay
7. Hashim Abdallah
8. Hussein Mnyika

Related Posts:

  • HAWA NDO WATAKAOAMUA MECHI KATI YA STARS NA MISRI Waamuzi wanne kutoka Gabon, ndio watakochezesha mchezo wa kimataifa kati ya Taifa Stars ya Tanzania na Mapharao wa Misri utakaofanyika Jumamosi Juni 4, 2016 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mchezo huo utakaoanza saa 10.00… Read More
  • KIPRE TCHETCHE AOMBA KUONDOKA AZAM FC Kipre Tchetche mchezaji wa Azam FC raia wa Ivory Coast amesema inatosha sasa kucheza Tanzania hivyo anataka kwenda kujaribu sehemu nyingine. Kipre ambaye ana mwaka mmoja umebaki katika mkataba wake ametosheka na muda ali… Read More
  • AL AHLY WAMNYATIA DONALD NGOMA Mshambuliaji wa kimataifa wa Zimbabwe Donald Ngoma ameanza kuwindwana vigogo wa soka la Misri na Afria timu ya Al Ahly. Ngoma amekuwa mshambuliaji tishio sana katika klabu ya Yanga na ametoa mchango mkubwa sana katika ma… Read More
  • TWIGA STARS KUVAANA NA RWANDA Timu ya soka Taifa ya Wanawake ya Tanzania – Twiga Stars, inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Rwanda, utakaofanyika Uwanja wa Amahoro jijini Kigali, Rwanda. Rwanda wameomba mchezo ufanyike ili ku… Read More
  • TFF YATANGAZA TAREHE YA MWISHO KUCHUKUA NA KUREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA UONGOZI YANGA Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), iliyopewa jukumu la kusimamia uchaguzi wa Klabu ya Young Africans imeridhishwa na mwenendo wa wanachama kwa namna wanavyochukua na kurejesha fomu. Katika kikao cha… Read More

0 comments:

Post a Comment