MASHABIKI wamevunja geti la kuingia uwanjani na wameanza kupambana na polisi ambao wamelipua mabomu ya machozi na kuwamwagia maji ya kuwasha.Co-ordinator wa mchezo huo ametoa tahadhari kama hali itaendelea hivi basi atasimamisha mchezo huo.
Tuesday, June 28, 2016
BREAKING NEWS: KUTOKA UWANJA WA TAIFA MASHABIKI WAVUNJA GETI MABOMU YALINDIMA
Related Posts:
USAJILI SIMBA NI TISHIOMwenyekiti wa kamati ya usajili ya klabu ya Simba, Zacharia Hans Pope ametamba kuwa wamejipanga kufanya usajili wa kisayansi zaidi lengo likiwa ni kupata kikosi imara kitakachowapa ubingwa msimu ujao. Kwa miaka mitatu mful… Read More
HUYU MWINGINE ALIYENASWA NA WEKUNDU WA MSIMBAZI Simba imemsainisha beki wa Mwadui Emmanuel Semwanza. Semwanza ameichezea Mwadui kwenye mzunguko wa pili baada ya kununuliwa kwenye kipindi cha usajili wa dirisha dogo akitokea African Lyon, tayari Beki huyo amesaini mkata… Read More
KIPA YANGA ASAKA KLABU YA KUHAMIABaada ya Yanga kufanikiwa kumsajili mlinda mlango kutoka timu ya Tanzania Prisons, Ben Kakolanya, Mlinda mlango wa siku nyingi wa klabu hiyo, Benedictor Tinoco amesema ni wakati wake kuangalia sehemu gani atacheza msimu ujao.… Read More
JUMA ABDUL, SALUM TELELA KUWAKOSA WAALGERIAWachezaji Juma Abdul na Salum Telela wataikosa mechi kati ya Yanga na Mo Bejaia, mechi ya kwanza katika hatua ya makundi kombe la shirikisho CAF. Telela na Juma Abdul hawatakuwepo katika kikosi kitakachoenda nchini Uturuki… Read More
MBUYU TWITE NDANI ISSOUFOU BOUBACAR NJE YANGA Habari njema kwa mashabiki wa Yanga ni kwamba Kiungo wao wa kimataifa wa Rwanda Mbuyu Twite ameongeza mkataba katika klabu hiyo. Ikiwa tayari Yanga imefanikiwa kuwasajili wachezaji wawili golikipa Beno Kakolanya kutoka Ta… Read More
0 comments:
Post a Comment