Monday, May 16, 2016

KINDA WA MAN U AITWA KIKOSI CHA ENGLAND UERO 2016



MARCUS Rashford kijana anayecheza katika kikosi cha Man United ameitwa na Kocha Roy Hodgson katika kikosi cha  wachezaji 26 cha timu ya Taifa ya England kitakachoshiriki mashindao ya Euro yatakayofanyika nchini Ufaransa.

0 comments:

Post a Comment