Sunday, April 10, 2016

Vardy Azidi Kuipaisha Leicester City Katika Mbio Za Ubingwa EPL



Leicester City wamezidi kuusogelea ubingwa wa ligi kuu nchini Uingereza baada ya kushinda mchezo wao na Sunderland
Magoli ya Lecester yamefunga na Mshambuliaji hatari Vardy,
Matokeo haya yanazidi kuiweka Leicester City katika nafasi ya kwanza ikiwa na jumla ya pointi 72 pointi kumi nyuma ya Totenham wanaoshika nafasi ya pili.

0 comments:

Post a Comment