Azam fc imefanikiwa kuichapa timu ya Esperance kutoka nchini Tunisia kwa mabao mawili kwa moja. Esperance walikuwa wa kwanza kupata bao dakika ya 33 ya mchezo kupitia kwa mchezaji wake Haithem Jouini.
Hadi timu zinakwenda mapumziko Azam walikuwa nyuma kwa bao moja.
Lakini goli hilo la Esperance halikuchukua muda baada ya Farid kuisawazishia Azam Fc dakika ya 68 baada ya kutanguliziwa pasi na Ramadhan Singano, dakika ya 70 dakika mbili tu baada ya Farid kuisawazishia Azam, Ramadhan Singano alitupia goli la pili naye akisetiwa vizuri na Farid Mussa.
Ushindi huu wa Azam unaiweka katika mazingira mazuri katika mchezo wao marudiano utakaofanyika majuma mawili yajayo.
Sunday, April 10, 2016
Farid Na Messi Waikalisha Esperance De Tunis
Related Posts:
Serengeti Boys hiyooo AFCON U17, 2017 Serengeti Boys … Read More
Kipa Kagera Sugar Afariki Dunia Mlinda mlango wa Kagera Suga, David Burhani Amefariki dunia katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza. Taarifa kutoka kwa viongozi wa Kagera Sugar zinasema marehemu alikuwa akisumbuliwa na Malaria. Taarifa zaidi zinae… Read More
Mkwasa Arejea Yanga Charles Boniface Mkwasa ameteuliwa kuwa katibu mkuu Yanga Afrika kwa mkataba wa miaka miwili na aliyekuwa katibu mkuu Baraka Deusdedit anarejea katika nafasi yake ya awali ya utunza fedha. Akizungumza baada ya kurejea kik… Read More
16 Bora Azam Federation Cup ratiba yatangazwa, michezo 8 kufanyika kwa siku tatu tofauti Michuano ya kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) hatua ya 16 bora kutimua vumbi February 24 na February 26 na march 7 katika mikoa sita ya Tanzania Bara. February 24 kutakuwa na michezo minne katika mikoa min… Read More
Kocha Mwadui Aitabiria Ubingwa Yanga Kocha wa klabu ya Mwadui FC, Ali Bushiri ameitabiria ubingwa wa ligi kuu Tanzania bara (VPL 2016/17) klabu ya Yanga kufuatia kandanda safi liliopigwa na vijana hao wa Jangawani wakati timu yake ya Mwadui FC ilipolala kwa jum… Read More
0 comments:
Post a Comment