Sunday, April 17, 2016
Hatimaye Mourinho Asaini Man Utd
Hatimaye kocha mwenye mbwembe nyingi zaidi duniani Jose Mourihno amekubali kusaini kandarasi na Mashetani wekundu yani Man Utd.
kama ambavyo ilisubiriwa na wengi kuwa kocha huyo angesaini manchester, hilo limetimia baaada ya kusaini mkataba ambao utamuweka klabuni hapo hadi mwaka 2019.
Ibrahimovic ndo atakuwa kipaumbele cha kwanza kwa kocha huyo Mreno katika msimu ujao wa usajili.
hii imekuwa ni habari njema sana kwa mashabiki wa Machester United ambao kwa hivi karibuni wamekuwa hawafurahishwi na mwenendo wa klabu yao ambayo ipo chini ya Mholanzi Louis Van Gaal.
Chanzo: Bild
Jumapili, April 17, 2016 10:26
Related Posts:
MAURICIO POCHETTINO AONGEZA MKATABA SPURS Kocha wa klabu ya Tottenham Spurs Mauricio Pochettino amesaini mkataba mpya na klabu hiyo utakaomuweka klabuni hapo hadi mwaka 2021. Pochettino alishatangaza wiki 2 nyuma kuwa alishafanya mazungumzo ya awali na klabu hiy… Read More
KUMBE HUYU NDO ALIYEIFUNGISHA MAN UTD DHIDI YA WESH HAM Manchester United ilishindwa kupata ushindi waliokuwa wanauhitaji ili wajihakikishie nafasi ya nne katika msimamo wa ligi kuu nchi Uingereza baada ya kukubali kipigo cha 3 – 2 kutoka kwa wagonga nyundo wa West Ham, kufua… Read More
KIBARUA CHA ROBERTO MARTINEZ CHAOTA NYASI Akiwa ameshinda mechi moja tu kati ya 10 walizocheza hivi karibuni, huku wakiruhusu kipigo cha goli 3-0 kutoka kwa Sunderland Jumatano iliyopita, hitaji la wapenzi wa Goodison Park kuona kocha huyo anatimuliwa lilizidi … Read More
ARSENE WENGER KUSAINI MKATABA MWINGINE NA ARSENAL Uongozi wa klabu ya Arsenal umepanga kumwongeza mkataba wa miaka 2 kocha wake Arsene Wenger mkataba ambao anatarajiwa kusaini October mwaka huu, lengo likiwa ni kupata muda wa kutosha wa kumtafuta atakaekuwa mrithi wa We… Read More
HATIMA YA VAN GAAL MAN UNITED YAWEKWA WAZI Louis Van Gaal amehakikishiwa na mabosi wa United kuwa ataendelea kubaki katika klabu hiyo hadi mwisho wa mkataba wake kwa mujibu wa ripoti ya Daily Star. Mdachi huyo anayeinoa United amekuwa akisemwa sana juu ya uwezo … Read More
0 comments:
Post a Comment