Tuesday, April 19, 2016

Azam watupwa nje ya mashindano ya kombe la shirikisho

Timu ya Soka ya Azam Fc imekubali kichapo cha magoli 3 kwa 0 dhidi ya timu ya Esperance usiku huu. Kipigo hicho kinafanya idadi ya magoli ya Esperance kufikia 4 wakati Azam ikiwa na magoli 2 hivyo Azam hawataweza kuendelea na michuano hiyo.
Azam ilipata nafasi ya kushiriki katika kombe la shirikisho baada ya kushika nafasi yapili katika ligi kuu ya Tanzania bara.

0 comments:

Post a Comment