Timu ya Soka ya Azam Fc imekubali kichapo cha magoli 3 kwa 0 dhidi ya timu ya Esperance usiku huu. Kipigo hicho kinafanya idadi ya magoli ya Esperance kufikia 4 wakati Azam ikiwa na magoli 2 hivyo Azam hawataweza kuendelea na michuano hiyo.
Azam ilipata nafasi ya kushiriki katika kombe la shirikisho baada ya kushika nafasi yapili katika ligi kuu ya Tanzania bara.
0 comments:
Post a Comment