Sunday, April 24, 2016

Azam FC Yatinga Fainali Kombe La FA


Azam Fc imetinga hatua ya fainali ya kombe la shirikisho baada  ya kuiondosha Mwadui Fc kwa mikwaju ya penati 5-3. Mechi hiyo ambayo ilikuwa na kasi na ushindani mkubwa ilimalizika kwa sare ya 1 - 1 katika dakika 90 za kawaida, katika dakika 30 za nyongeza Azam Fc walifanikiwa kupata goli la pili dakika ya 96 kupitia kwa Bocco.
Mwadui walisawazisha goli hilo dakika ya 120 kwa mkwaju wa penati baada ya mchezaji wa azam kunawa katika eneo la penati box.
Hata hivyo Mchezaji mmoja wa Mwadui alipoteza penati moja Huku Azam wao wakifunga penati zote Tano.
Azam FC sasa hivi wanasubiri hatima ya mechi kati ya Coastal Union na Yanga SC iliyovunjika kutokana na vurugu zilizosababishwa na mashabiki wa Coastal Union ili wajue nani wanacheza nae katika hatua ya fainali.






pata habari za michezo kwa haraka zaidi kupitia soka24.blogspot.com

Related Posts:

  • PICHA: YANGA WALIVYOIACHA ARDHI YA TANZANIA ==============  Bonyeza hapa ku-Like Page yetu ya Facebook ============== … Read More
  • MATOKEO UCHAGUZI YANGAMATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA YANGA ULIOFANYIKA JANA. M/KITI 1. Yussuf Mehboob Manji MAKAMU M/ KITI 1. Clement Sanga Wajumbe 8 Yanga ni:- 1. Omary Ameir 2. Siza Lyimo 3. Salum Mkemi 4. Thobius Lingalangala 5. Ayoub Nye… Read More
  • UJIO WA NYOTA HUYU YANGA WAMWEKA ROHO JUU TAMBWEMshambuliaji wa Yanga Amiss Tambwe amesema hana hofu ya kupoteza nafasi yake kwenye kikosi cha kwanza cha Yanga kufuatia ujio wa wachezaji wapya Yanga. Walter Musona Yanga inakaribia kuinasa saini ya mshambuliaji hatari k… Read More
  • MBUYU TWITE NDANI ISSOUFOU BOUBACAR NJE YANGA Habari njema kwa mashabiki wa Yanga ni kwamba Kiungo wao wa kimataifa wa Rwanda Mbuyu Twite ameongeza mkataba katika klabu hiyo. Ikiwa tayari Yanga imefanikiwa kuwasajili wachezaji wawili golikipa Beno Kakolanya kutoka Ta… Read More
  • HUKU NDIKO SIMBA WANAKOSAKA NYOTA WAPYA Klabu ya Simba ipo katika pilikapilika za kuhakikisha wanaimarisha kikosi chao lengo likiwa ni kutwaa ubingwa wa ligi msimu ujao. Katika kuhakikisha wanafanya usajili wa uhakika Simba imeelekeza nguvu zake nchini Uganda,… Read More

0 comments:

Post a Comment