Sunday, April 24, 2016

Leicester City Yazidi Kupaa Kileleni Wakati Arsenal Ikivutwa Shati


Timu inayoishangaza dunia msimu huu katika ligi kuu ya Uingereza Leicester City imezidi kulisogelea taji la EPL baada ya kutoa kichapo kikali kwa Swansea.

Leicester City ambayo leo imecheza huku ikimkosa mshambuliaji wake hatari Jamie Vardy imefanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 4 - 0 dhidi ya Swansea. Magoli ya Leicester yamefunga na R. Mahrez dakika ya 10', L. Ulloa dakika ya 30' na 60' huku lile la nne likifungwa na M Albrighton dakika ya 85' ya mchezo. kwa matokeo haya Leicester wanafikisha jumla ya pointi 76 wakiwa wamecheza mechi 35, wakifuatiwa na Tottenham wenye pointi 68 katika mechi 34 walizocheza.



Nao Arsenal walishuka tena dimbani leo kucheza na Sunderland na mechi hiyo kuisha kwa suluhu ya bila kufungana, matokeo hayo yanaiacha Arsenal katika nafasi ya 4 ikiwa na pointi 64 na michezo 35.












pata habari za michezo kwa haraka zaidi kupitia soka24.blogspot.com

Related Posts:

  • Hatimaye Mourinho Asaini Man Utd Hatimaye kocha mwenye mbwembe nyingi zaidi duniani Jose Mourihno amekubali kusaini kandarasi na Mashetani wekundu yani Man Utd.  kama ambavyo ilisubiriwa na wengi kuwa kocha huyo angesaini manchester, hilo limetimia b… Read More
  • Christiano Ronaldo Kutua PSG France football imetoa habari iliyotikisa zaidi kwa wapenzi wa soka ikimhusisha Star wa Real Madrid Christiano Ronaldo kutua katika klabu ya PSG. Habari kutoka chanzo hicho zinaripoti kuwa Ronaldo amekutana mara 5 na Rai… Read More
  • Tanzania Yazidi Kupata Umaarufu Duniani Bondia Ibrahim Class Bondia mtanzania Ibrahim Class ‘King Class Mawe’ameendelea kutamba katika mapigano yake nje ya nchi baada ya usiku wa kuamkia jana kufanikiwa kumtwanga Mjerumani huko Panama City Amerika Kusini. … Read More
  • Samatta Habari Nyingine Jamani Samatta akishangilia Baada ya kufunga bao Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta ameendelea kung’ara Ulaya baada ya kuifungia tena klabu yake, KRC Genk katika ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya wenyeji SV Zulte-Waregem. Katika… Read More
  • Leicester City Yadondosha Pointi Mbili Vardy Akitolewa Kwa Kadi Nyekundu Matokeo Ligi Kuu Uingereza Jumapili, April 17, 2016 Bournemouth 1 - 2 Liverpool Leicester City 2 - 2  West Ham United Jumamosi, April 16, 2016 Chelsea  0 - 3  Manchester City … Read More

0 comments:

Post a Comment