![]() |
Samuel Eto'o |
Nyota wa zamani wa Barcelona na Inter hitman amekuwa akifuatilia ushujaa unaooneshwa na Leicester City, na anaamini meneja Claudio Ranieri ndio nyota wa mchezo
Hadithi ya Cinderella ya Ligi Kuu Uingereza “Leicester City” imempata Mpenzi mwingine. Samuel Eto'o anaonyesha wazi kuvutiwa na Kikosi hicho cha Claudio Ranieri ambacho kinapewa nafasi kubwa ya kushinda taji la EPL msimu huu.
![]() |
Kikosi Cha Leicester City |
Yamekuwa ni maajabu makubwa kutoka kuepuka kushuka daraja msimu uliopita hadi kushindania ubingwa msimu huu, shukrani kwa Claudio Ranieri. Staa huyo wa zamani wa Barcelona na Inter Millan Samuel Eto'o alionyesha kummwagia sifa Ranieri.
![]() |
Claudio Ranieri |
"Nilikuwa na nafasi ya kuanguka kwa upendo na mengi ya klabu hiyo, sasa mimi nipo katika upendo na Ranieri na Leicester City," alisema Eto'o, ambaye sasa yupo katika klabu ya Antalyaspor ya Nchini Uturuki.
"Jamie Vardy? Yeye ni nzuri sana, lakini pia Kocha Ranieri anaonyesha maajabu makubwa sana”
"Imekuwa ni mshangao kwa kila mtu kwa wao hakika kushindania Ubingwa wa Ligi Kuu."
Leicester, ambao walishinda mechi zao tano zilizopita bila kufungwa bao mechi dhidi ya West Ham, Swansea City, Manchester United, Everton na Chelsea wanatarajia kushuka dimbani tena kucheza na West Ham United siku ya Jumapili ya tarehe 17.
0 comments:
Post a Comment