Saturday, February 25, 2017

kuelekea mchezo wa Yanga na simba ulinzi waimarishwa taifa


Kuelekea saa kumi ulinzi waimarishwa Uwanja wa taifa  kamera 4000 zafungwa kuwabaini wale wote watakaohujumu Uwanja huo.

Pia polisi zaidi ya 400 kuimarisha amani uwanjani hapo.


Simba na Yanga ni Mahasimu wa jadi hivyo wanapokutana vita huwa inaanzia mitaani na kumalizikia uwanjani.

Shamra shamra zimetanda kila kona ya Tanzania na nchi jirani wakiwa na hamu kuwaona wababe hao wa kihistoria watakavyotoana jasho jioni ya leo.


Tahadhari:         Michezo ni furaha na ni amani twende uwanjani tukafurahi na si kuvunja Amani


0 comments:

Post a Comment