Saturday, January 28, 2017

Mechi Za Leo Jumamosi Januari 28 VPL 2016/17

Ligi kuu Tanzania Bara (VPL) inataraji kuendelea tena leo kwa michezo mitatu itakayotimua vumbi katika mikoa ya Dar, Mbeya na Mtwara.
Ratiba Kamili ni kama inavyoonekana hapa chini;


Dar Es Salaam
Simba V Azam FC

Mbeya
Tanzania Prisons V Mbeya City

Mtwara
Ndanda V Majimaji

Usikiose kufuatilia Mtanange Mkali kabisa kati ya Simba SC dhidi ya Azam FC utakaopigwa katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam leo majira ya saa 10:00 Jioni, Hapahapa Soka24, Tutakuletea mechi hii moja kwa moja kutoka uwanja wa taifa.

0 comments:

Post a Comment