Monday, July 11, 2016

WANAOWANIA TUZO ZA LIGI KUU VODACOM 2015/16

Utoaji wa tuzo za washindi ligi kuu Vodacom msimu wa 2015/16 utafanyika Julai 17 jijini Dar es Salaam.

Wanaowania Tuzo Hizo Ni Kama Ifuatavyo:

MCHEZAJI BORA WA KIMATAIFA SH. MILIONI 5.7
Wanaowania Ni;
1. Thaban Kamusoka (Yanga)
2. Donald Ngoma (Yanga)
3. Vicent Agban (Simba)

KOCHA BORA WA MSIMU SH. MILIONI 8.7
Wanaowania Ni;
1. Hans Van Pluijm (Yanga)
2. Mecky Mexime (Mtibwa Sugar)
3.  Salum Mayanga (Tanzania Prisons)

MCHEZAJI BORA CHIPUKIZI
1. Farid Mussa (Azam FC)
2. Mohamed Hussein "Tshabalala) (Simba)
3. Mzamiru Yasin (Mtibwa Sugar)
4. Shiza Kichuya (Mtibwa Sugar)

MWAMUZI BORA SH. MILIONI 8.7
Wanaowania Ni;
1. Anthony Kayombo
2. Ngole Mwangole
3. Rajab Mrope

Zawadi zingine ambazo zitatolewa katika hafla hiyo ni pamoja na;
1. Timu Yenye Nidhamu ambayo itapewa Sh. Milioni 17

Yanga ambayo  ndio Bingwa wa ligi hiyo itapewa Sh. Milioni 81, Azam Mshindi wa Pili atapata Sh. milioni 46  wakati Simba iliyomaliza katika nafasi ya tatu itapata  sh. Milioni 26.
Bonyeza Hapa Ku-Like Ukurasa Wa Soka24 Facebook

Related Posts:

  • YANGA YAWASILI SALAMA JIJINI MBEYA Timu ya Yanga imewasili salama jijini Mbeya Asubuhi ya leo wakitokea Dar, Kesho saa 10 : 00 alasiri mabingwa hao watashuka katika uwanja wa Sokoine kuwakabili wagonga nyundo Mbeya City! Jioni ya leo na kesho asubuhi Yan… Read More
  • TAZAMA MASHABIKI WA SIMBA WALIVYOLIANZISHA MSIMBAZI Kufuatia matokeo mabaya yanayoikumba klabu ya Simba katika mechi zao za hivi karibuni, mashabiki na wanachama wa klabu hiyo wameshindwa kuvumilia na kuamua kujikusanya katika makao makuu ya klabu hiyo kwa kile wanachodai … Read More
  • HASSAN RAMADHANI KESSY AMWAGA WINO YANGA Beki wa kulia wa Simba SC, Hassan Ramadhani Kessy (katikati) akitia dole gumba kwenye fomu za Mkataba wa Yanga, Kessy amesaini miaka miwili kuitumikia Yanga kuanzia mwezi ujao. Zoezi hilo lilifanyika juzi usiku mjini Dar… Read More
  • TFF YAZIKUMBUSHA TENA KLABU ZA LIGI KUU 2016/17 Kwa mara nyingine, Bodi ya Ligi Kuu ya Shirikisho la Soka (TFF) imezikumbusha klabu zitakazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2016/17 kuwa mchakato wa wa utengenezaji kanuni umeanza tangu Mei 5, 2016. Bodi ya Ligi… Read More
  • SIMBA YAIFUATA MAJIMAJI SONGEA Kikosi cha Simba kimesafiri alfajiri ya leo kuelekea Songea tayari kwa mchezo wake dhidi ya Majimaji FC. Simba itaingia katika mchezo huu ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa awali dhidi ya Mwadui FC, hivyo kuh… Read More

0 comments:

Post a Comment