Tuesday, July 5, 2016

WACHEZAJI 10 MBADALA WA PAUL POGBA MAN U

Klabu ya Manchester United ipo katika harakati za kuhakikisha wanainasa saini ya Kiungo wa Juventus Paul Pogba, lakini mbio hizo zinaweza kukumbwa na changamoto na hatimaye Man U kujikuta wakishindwa kupata huduma ya nyota huyo kutokana na vilabu vingine vikubwa kuonyesha nia ya kutaka kumsajili.

Endapo Man U watashindwa kumpata Pogba basi hapa kuna wachezaji 10 ambao wanaweza kuwa mbadala wake klabuni hapo
Kevin Strootman - AS Roma

Marco Veratti - PSG


Ross Barkley - Everton

Joao Mario - Sporting Lisbon

Blaise Matuidi - PSG

Axel Witsel - Zenit Saint-Petersburg

Luka Modric - Real Madrid

Andre Gomes- Valencia

Ruben Neves- FC Porto

Will Hughes- Derby Country

Bonyeza Hapa Ku-Like Ukurasa Wa Soka24 Facebook


Related Posts:

  • WENGER KUMWONGEZA MKATABA JACK WILSHERE Meneja Wa Arsenal Arsene Wenger Amepanga Kumwongezea Mkataba Mrefu Zaidi Wilshere. Arsene Wenger  ana mpango wa muda mrefu na Jack Wilshere hivyo kupanga kumwongezea mkataba utakaomuweka klabuni hapo kwa muda mrefu … Read More
  • MARCA YATOA LIST YA WACHEZAJI 16 WANAOHUSISHWA KUSAJILIWA NA MOURINHO Dirisha la usajili bado halijafunguliwa rasmi hadi June 19 na Mourinho bado hajathibitishwa kuwa kocha wa Man United baada ya kumfukuza kazi Louis Van Gaal. Hilo halijazuia uvumi wakimichezo unaowahusisha wachezaji kusaj… Read More
  • SIMON MIGNOLET APATA MPINZANI MPYA LIVERPOOL Klabu ya Liverpool imefikia makubaliano na mlinda mlango wa Klabu ya Mainz Loris Krius na tayari mlinda mlango huyo ameshafuzu vipimo vyake.  Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp anakijenga upya kikosi chake baada ya kufiki… Read More
  • BRENDAN RODGERS KOCHA MPYA CELTIC Rodgers aliyetimuliwa na Liverpool mwezi October 2015 amechukua nafasi ya kocha Ronny Deila aliyeachia ngazi katika klabu ya Celtic ya nchini Scotland. Kocha huyo wa Zamani wa Liverpool na Swansea amesaini mkataba wa mie… Read More
  • HAYA NDO ALIYOAHIDIWA KOCHA PLUIJM YANGA Mkataba wa kocha mkuu wa Yanga Hans Pluijm ukiwa umebakiza siku chache kumalizika Yanga yafunguka juu ya kuendelea kubaki na kocha huyo. Klabu ya Yanga imeanza mazungumzo rasmi na kocha mkuu wa klabu hiyo Hans Van Pluijm… Read More

0 comments:

Post a Comment