Tuesday, July 5, 2016

WACHEZAJI 10 MBADALA WA PAUL POGBA MAN U

Klabu ya Manchester United ipo katika harakati za kuhakikisha wanainasa saini ya Kiungo wa Juventus Paul Pogba, lakini mbio hizo zinaweza kukumbwa na changamoto na hatimaye Man U kujikuta wakishindwa kupata huduma ya nyota huyo kutokana na vilabu vingine vikubwa kuonyesha nia ya kutaka kumsajili.

Endapo Man U watashindwa kumpata Pogba basi hapa kuna wachezaji 10 ambao wanaweza kuwa mbadala wake klabuni hapo
Kevin Strootman - AS Roma

Marco Veratti - PSG


Ross Barkley - Everton

Joao Mario - Sporting Lisbon

Blaise Matuidi - PSG

Axel Witsel - Zenit Saint-Petersburg

Luka Modric - Real Madrid

Andre Gomes- Valencia

Ruben Neves- FC Porto

Will Hughes- Derby Country

Bonyeza Hapa Ku-Like Ukurasa Wa Soka24 Facebook


0 comments:

Post a Comment