Saturday, July 9, 2016

SHIZA KICHUYA ATUA MSIMBAZI

Klabu ya Mtibwa Sugar imethibitisha kukamilisha uhamisho wa mchezaji wao Shiza Kichuya kujiunga na klabu ya Simba.

Kwa muda mrefu kichuya alikuwa akihusishwa na kujiunga na wekundu hao wa Msimbazi lakini taarifa za hivi punde ni kwamba tayari Mtibwa wameshamalizana na Simba kuhusu uhamisho wa mchezaji huyo.

"Tayari tumekamilisha dili la kumuuza Kichuya, kwa hiyo ameshajiunga na wenzake wa Simba, ni mchezaji mzuri tunasikitika lakini hatuna jinsi, tutaangalia wengine wa kuziba pengo lake" alisema Kifaru.

Kichuya anakuwa mchezaji wa tatu kujiunga na Simba akitokea Mtibwa Sugar wengine wakiwa ni Mohamed Ibrahim na Muzamil Yasin.
Bonyeza Hapa Ku-Like Ukurasa Wa Soka24 Facebook

Related Posts:

  • NGASA ANARUDI YANGA Mrisho Halfan Ngassa Mtanzania anayecheza katika klabu ya Free State ya Nchini Afrika Kusini amesema yupo tayari kurudi kucheza Yanga. Winga huyo wa Kimataifa raia wa Tanzania anacheza katika klabu ya Free State inayos… Read More
  • MANENO YA HANS POPE KWA DONALD NGOMA Hans Pope bosi anayeshughulikia maswala ya Usajili kunako klabu ya Simba ameweka bayana kuvutiwa kwake na Mshambuliaji wa Yanga Donald Ngoma. Hans Pope amesema licha ya Amiss Tambwe kuibuka Mfungaji bora katika msimu wa … Read More
  • SIMBA YAEPUKA KUSHUSHWA DARAJA Klabu ya Simba imetekeleza agizo la FIFA la kumlipa pesa zake zote Donald Mosoti na kuepukana na adhabu ya kushushwa daraja ambayo FIFA walitishia kuitoa. Uongozi wa Simba umekamilisha malipo ya fedha taslimu kiasi cha S… Read More
  • WAKENYA WAVUTIWA NA REKODI ILIYOWEKWA NA SERENGETI BOYS Timu ya Taifa ya vijana chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) iliyorejea nchini kutoka ziara ya India ambako walishiriki mashindano ya vijana ya Kimataifa yanayotambuliwa na FIFA (AIFF International Youth Tournament 2016), imer… Read More
  • KRC GENK WAMZUIA SAMATTA KUJIUNGA NA TAIFA STARS Klabu ya Genk anayocheza Mfungaji bora wa Afrika mwaka 2015, Mtanzania Mbwana Ally Samatta imemuombea mchezaji huyo kutoungana na timu yake ya taifa katika mechi ya kirafiki na Kenya. Mbwana Samatta ataikosa mechi kati y… Read More

0 comments:

Post a Comment