Home »
Kitaifa
,
Vpl
» PICHA: SIMBA WALIVYOAGWA TAYARI KWENDA KUJIANDAA NA MSIMU UJAO
Uongozi wa klabu ya Simba pamoja na wanachama na mashabiki wamekiaga kikosi cha Simba tayari kwenda kuanza mazoezi katika kambi itakayowekwa mkoani Morogoro kujiandaa na kuanza kwa msimu mpya wa ligi Kuu.
Related Posts:
Usajili Wa Kwanza Wa Yanga Huu Hapa
Yanga imekamilisha usajili wa beki wa kati kutoka katika klabu ya Taifa jang'ombe, Abdalla Haji Shaibu.
Beki wa timu ya Taifa ya Jang"ombe Abdallah Haji Shaibu "Ninja" amesaini mkataba wa miaka 2 kuwatumikia mabing… Read More
Kikosi Cha Yanga Dhidi Ya Tusker Leo
SPORTPESA SUPER CUP
KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA TUSKER LEO
1.Deo Dida
2.Juma Abdull
3.Emanuel Kichiba
4.Andrew Vicent
5.Nadir Canavaro
6.Babu Ally
7.Yusuph Mhilu
8.Maka
9.Obby Chirwa
10.Juma Mahadhi… Read More
Wachezaji Yanga Kujazwa Mamilioni
Katibu mkuu wa klabu ya Yanga, Charles Boniface Mkwasa ameahidi kuwalipa wachezaji wake mishahara yao ya miezi minne wanayodai kabla ya kuanza kwa michuano ya Sportspesa Super Cup.
Kauli hiyo inakuja baada ya kuwepo kwa … Read More
Yote Yanayoihusu Azam FC;Usajili, Waliotemwa Wanaoingia Na Mipango Msimu Ujao
UONGOZI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, unapenda kuwataarifu wapenzi na mashabiki wa soka nchini kuwa imebadilisha mfumo wa usajili uliokuwa ikiutumia awali wa kusajili wachezaji kwa gharama kubwa na s… Read More
Simba Wapata Mbadala Wa Juuko Murshid
Munezero Fiston ni Mnyarwanda ambaye yupo katika mipango ya Simba baada ya kocha Joseph Omog kupendekeza atafutiwe mchezaji mwingine.
Munezero, anayekipiga katika klabu ya Rayon Sport anatarajiwa kutua Dar Es Salaam Juma… Read More
0 comments:
Post a Comment