Monday, May 16, 2016

WINGA WA ARSENAL ATUPWA NJE KIKOSI CHA ENGLAND



Theo Walcott anayecheza kama Winga/Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal ameachwa katika kikosi cha England kitakachoshiriki michuano ya Euro 2016 nchini Ufaransa.
Walcott amesema hajafurahishwa na kuachwa kwake huku akisema ameongea na Roy Hodgson na anaheshimu maamuzi yake.

Hiki ndo alichoandika Walcott katika akaunti yake ya Twitter.

0 comments:

Post a Comment