Home »
Kitaifa
» MSAFARA WA YANGA WAWASILI SALAMA JIJINI DAR
Hapa Timu Ikielekea Makao Makuu Baada Ya kutua katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere
Related Posts:
PICHA: SIMBA WALIVYOAGWA TAYARI KWENDA KUJIANDAA NA MSIMU UJAO
Uongozi wa klabu ya Simba pamoja na wanachama na mashabiki wamekiaga kikosi cha Simba tayari kwenda kuanza mazoezi katika kambi itakayowekwa mkoani Morogoro kujiandaa na kuanza kwa msimu mpya wa ligi Kuu.
… Read More
WANAOWANIA TUZO ZA LIGI KUU VODACOM 2015/16
Utoaji wa tuzo za washindi ligi kuu Vodacom msimu wa 2015/16 utafanyika Julai 17 jijini Dar es Salaam.
Wanaowania Tuzo Hizo Ni Kama Ifuatavyo:
MCHEZAJI BORA WA KIMATAIFA SH. MILIONI 5.7
Wanaowania Ni;
1. Thaban Kamusoka … Read More
MEDEAMA KUTUA DAR KESHO
Wapinzani wa Yanga katika mchezo ujao wa Kombe la Shirikisho Afrika, Medeama ya Ghana wanatarajiwa kutua nchini kesho tayari kwa mchezo wa Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Yanga katika msimamo wa Kund… Read More
JERRY MURO ATAKIWA KUWA NA ADABU
Sakata la Ofisa habari wa Yanga Jerry Muro kufungiwa mwaka mmoja kutojihusisha na maswala ya soka pamoja na kupigwa faini ya sh. Milioni tatu limechukua sura mpya baada ya viongozi wa TFF kujibu kauli za Msemaji huyo.
Kati… Read More
CANNAVARO AIPANIA MEDEAMA
Nahodha wa timu ya Yanga, Nadir Haroub "Cannavaro" amesema Ushindi kwenye mechi dhidi ya Medeama ni lazima.
Yanga inashiriki michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika (CAF CC) hatua ya makundi na tayari imeshacheza me… Read More
0 comments:
Post a Comment