Home »
Kitaifa
» MASHABIKI WAFURIKA UWANJA WA NDEGE KUISUBIRI YANGA
Msafara wa klabu ya Yanga unatarajia kuwasili Leo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Mashabiki wakiwa wanawasubiri kwa hamu kubwa mashujaa wao waliotinga hatua ya robo fainali kombe la shirikisho barani Afrika baada ya kuiondosha Esperanca ya Angola.
Related Posts:
TFF YAZIKUMBUSHA TENA KLABU ZA LIGI KUU 2016/17
Kwa mara nyingine, Bodi ya Ligi Kuu ya Shirikisho la Soka (TFF) imezikumbusha klabu zitakazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2016/17 kuwa mchakato wa wa utengenezaji kanuni umeanza tangu Mei 5, 2016.
Bodi ya Ligi… Read More
HASSAN RAMADHANI KESSY AMWAGA WINO YANGA
Beki wa kulia wa Simba SC, Hassan Ramadhani Kessy (katikati) akitia dole gumba kwenye fomu za Mkataba wa Yanga, Kessy amesaini miaka miwili kuitumikia Yanga kuanzia mwezi ujao. Zoezi hilo lilifanyika juzi usiku mjini Dar… Read More
TAZAMA MASHABIKI WA SIMBA WALIVYOLIANZISHA MSIMBAZI
Kufuatia matokeo mabaya yanayoikumba klabu ya Simba katika mechi zao za hivi karibuni, mashabiki na wanachama wa klabu hiyo wameshindwa kuvumilia na kuamua kujikusanya katika makao makuu ya klabu hiyo kwa kile wanachodai … Read More
SIMBA YAIFUATA MAJIMAJI SONGEA
Kikosi cha Simba kimesafiri alfajiri ya leo kuelekea Songea tayari kwa mchezo wake dhidi ya Majimaji FC. Simba itaingia katika mchezo huu ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa awali dhidi ya Mwadui FC, hivyo kuh… Read More
HIKI NDO KIKOSI CHA SERENGETI BOYS
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Dioniz Malinzi amewataka wachezaji wa timu ya soka ya vijana wa Tanzania wenye umri wa chini ya miaka 17 maarufu kama jina la Serengeti Boys kwenda kucheza soka la ushi… Read More
0 comments:
Post a Comment