Saturday, April 16, 2016

Yanga Yapaa Kileleni


Mchezo kati ya Yanga na Mtibwa Umemalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa goli 1 - 0 dhidi ya Mtibwa Sugar goli liliofungwa na Simon Msuva dakika ya 46'.
Kwa matokeo haya Yanga inakaa kileleni kwa jumla ya pointi 59 dhidi ya 57 za simba

0 comments:

Post a Comment