Saturday, April 16, 2016

Yanga Yapaa Kileleni


Mchezo kati ya Yanga na Mtibwa Umemalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa goli 1 - 0 dhidi ya Mtibwa Sugar goli liliofungwa na Simon Msuva dakika ya 46'.
Kwa matokeo haya Yanga inakaa kileleni kwa jumla ya pointi 59 dhidi ya 57 za simba

Related Posts:

  • Yanga Yaitwanga Mwadui, Yapaa Kileleni LIGI KUU TANZANIA BARA MZUNGUKO WA PILI RAUNDI YA 20 Yanga 2 - 0 Mwadui Chirwa 69', 83' Yanga Sasa inapanda katika nafasi ya kwanza katika msimamo wa ligi kuu Tanzania bara kwa kujikusanyia jumla ya alama 46 wakit… Read More
  • LIVE KUTOKA TAIFA - FUATILIA LIVE MCHEZO KATI YA SIMBA NA TOTO AFRICANS HALF TIME MATOKEO: SIMBA 0 - 1 TOTO AFRICANS Mfungaji: Wazir Junior  ======== KIPINDI CHAPILI KIMEANZA Dakika ya 47: beki wa Simba, Hassan Kessy anapewa kadi nyekundu kwa kumchezea faulo, Edward Chris… Read More
  • Mnyama Achinjwa Taifa Timu ya soka ya Simba imezidi kupoteza matumaini ya kunyakua ubingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara baada ya kukubali kichapo cha Goli 1 - 0 toka kwa Toto Africans ya Mwanza.Katika mchezo huo ambao wadau wengi wa soka waliip… Read More
  • Simba yarudi kileleni, yaitumia salamu yanga february 25 Mpira ulianza kwa kasi na 11’ alimanusura Benjamin Asukile aifungie Prisons goli pale kichwa chake kilipoenda pembeni kidogo mwa lango la simba baada ya kazi nzuri ya Mohammed Samatta. Juma Luzio mchezaji wa Zesco Un… Read More
  • Matokeo Ligi Kuu Bara Matokeo Ligi Kuu Tanzania Bara Azam FC 2 - 0 Majimaji Young Africans 2 - 1 Mgambo JKT Simba SC 0 - 1 Toto Africans Young Africans 1 -… Read More

0 comments:

Post a Comment