Friday, April 29, 2016

SIMON MIGNOLET HATARINI KUTIMULIWA LIVERPOOL


Mlinda mlango wa Liverpool  Simon Mignolet ameonekana kuwaangusha mamilioni ya mashabiki wa Liverpool msimu huu na kocha Klopp anafikiria kumleta kipa mwingine anayechezea Barcelona kwa sasa Marc-Andre ter Stegen.
Mlinda mlango huyo wa Barcelona anayesifiwa sana kwa kiwango chake alichoonyesha klabuni hapo tangu alipojiunga mwaka 2014, amekuwa katika mipango ya Jurgen Klopp ili kuimarisha kikosi chake katika nafasi hiyo ya mlinda mlango.


Alipoulizwa hivi karibuni kuwa yeye anafikiri ni kipa gani Louis Enrique atakuwa na mipango nae ya baadae, Ter Stegen alisema “Sijui kocha anachokifikiria” Comment ambayo imeongeza hisia kuwa huenda mlinda mlango huyo akawashiwa taa nyekundu klabuni hapo, kwani licha ya kufanya vizuri na kudhihirisha uwezo wake mkubwa klabuni hapo, Ter Stegen amecheza katika mechi 4 tu katika mechi zote za ligi msimu huu, huku Claudio Bravo akionekana kuwa ndo chaguo namba moja la Enrique. 






Pata habari za michezo kwa haraka zaidi kupitia soka24.blogspot.com

Related Posts:

  • MATOKEO COPA AMERICA IJUMAA JUNI 10, 2016COPA AMERICA CONTENARIO 2016 MATOKEO  Mexico 2-0 Jamaica Chicharito 18' Peralta 81' Uruguay 0-1 Venezuela                    Rondon 36' LEO Chile vs Bolivia A… Read More
  • CHRISTIANO RONALDO AMDONDOSHA MAYWEATHER Christiano Ronaldo amemshusha Floyd Mayweather katika orodha ya wanamichezo wanaolipwa zaidi duniani iliyotolewa jana na jarida la Forbes. Hii ndio Orodha kamili. 1.Cristiano Ronaldo - football ($88m/£60.6m) 2. Lionel Me… Read More
  • DANIEL AGGER ATANGAZA KUACHANA NA SOKA Beki wa zamani wa klabu ya Liverpool Daniel Agger ametangaza kustahafu kucheza soka leo alhamisi Juni 9, 2016 akiwa na umri wa miaka 31. Beki huyo aliyefanikiwa kuichezea timu yake ya taifa ya Denmark mechi 71 alishare ta… Read More
  • MESSI HANA HARAKA YA KUONGEZA MKATABA BARCELONA Supastaa wa soka duniani Lionel Messi hajaanza mazungumzo ya kuongeza mkataba wake uliosalia miaka 2 katika klabu yake ya Barcelona. Barcelona hawajaanza mazungumzo ya kuongeza mkataba wa Messi unaomalizika miaka 2 ijayo.… Read More
  • MJUE ERIC BAILLY NYOTA ALIYETUA MAN U Klabu ya Manchester United imefanikiwa kumsajili Eric Bailly kutoka katika klabu ya Villarreal, Soka24 inakujuza kiundani zaidi kuhusu mchezaji huyu. JINA KAMILI; Eric Bertrand Bailly KUZALIWA; April 12, 1994 MAHALA ALIPO… Read More

0 comments:

Post a Comment