Saturday, April 30, 2016

HUU NDIO USAJILI WA KWANZA WA MOURINHO MAN UTD


MANCHESTER United wamekubali kulipa ada ya uhamisho ya Euro Milion 80 ili kumnasa nyota wa Benifica Renato Sanches. Gazeti la Michezo la Ureno limeripoti kuwa katika dili hilo Man Utd watalazimika kulipa Euro Milioni 40 Cash na 40 itakayobakia italipwa baadae. Usajili huo umepata mitazamo tofauti huku wataalamu wa soka wakisema ni kiwango kikubwa sana cha pesa alichosajiliwa Renato ukizingatia bado hajadhihirisha ubora wake kiasi cha kumnunua kwa Dau hilo.
Wakala wa Mourinho Jorge Mendes ndo amehusika katika dili hilo.


 Pata habari za michezo kwa haraka zaidi kupitia soka24.blogspot.com

Related Posts:

  • Arsenal Yakamilisha Usajili Wa Shkodran Mustafi Klabu ya Arsenal imetangaza rasmi kumsajili beki wa kati wa Valencia Shkodran Mustafi kwa ada ya uhamisho ambayo haijawekwa wazi. Licha ya thamani ya uhamisho wa mchezaji huyo kutowekwa wazi lakini habari za chini chini z… Read More
  • Rasmi: Wilfred Bony Atua Stoke City Klabu ya Stoke City imekamilisha uhamisho wa Wilfred Bony kwa mkopo akitokea klabu ya Manchester City. Bony aliyefeli kumshawishi kocha mpya wa City, Mhispania Pep Guardiola amefanikiwa kufunga magoli 11 katika michezo 4… Read More
  • Rasmi:Samir Nasri Atua Sevilla Manchester City imetangaza kuwa Samir Nasri amejiunga na klabu ya Sevilla kwa Mkopo. Endelea Kuungana Na Soka24 kwa habari za papo kwa papo za Soka kote Ulimwenguni............. ================== Stori Kubwa Zinazotikisa… Read More
  • Fifa Yaleta Waraka Mpya Wa Usajili Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), limesambaza waraka mpya kwa wanachama wake, likiwamo Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ukisema mameneja wote wa usajili wa wachezaji kwa mfumo wa Mtandao (TMS-Trans… Read More
  • Rasmi: Torino Yamnasa Joe Hart Mlinda Mlango namba moja wa Uingereza Joe Hart amekamilisha uhamisho wa kujiunga na Klabu ya Torino inayoshiriki ligi kuu nchini Italia kwa mkopo akitokea Manchester City. Hart alijikuta akiwa chaguo la pili la kocha Pep … Read More

0 comments:

Post a Comment