Thursday, April 28, 2016

Mamadou Sakho Afungiwa Kucheza Mpira


Beki wa Liverpool amekataa kuchukuliwa vipimo kwa mara ya pili baada ya majibu ya vipimo vya kwanza kuonyesha alikuwa anatumia dawa za kupunguza unene ambazo haziruhusiwi kwa wanamichezo. Kukataa huko kumelifanya shirikisho la Mpira barani ulaya UEFA kumfungia mchezaji huyo kwa muda wa siku 30.
UEFA wamesema katika tovuti yao kuwa “hatua za kinidhamu zitachukuliwa dhidi ya Mchezaji wa Liverpool Mamadou Sakho kufuatia vipimo vilivyofanyika katika mechi ya UEFA Europa League raundi ya 16, katika mchezo wa pili kati ya Mancester United na Liverpool  iliyochezwa March 17 mwaka huu”.

UEFA wamesisitiza kuwa hatua zaidi za kinidhamu zitachukuliwa dhidi ya mchezaji huyo hasa baada ya kukataa kufanyiwa vipimo kwa mara ya pili.


Pata habari za michezo kwa haraka zaidi kupitia soka24.blogspot.com

Related Posts:

  • CHRISTIANO RONALDO AMDONDOSHA MAYWEATHER Christiano Ronaldo amemshusha Floyd Mayweather katika orodha ya wanamichezo wanaolipwa zaidi duniani iliyotolewa jana na jarida la Forbes. Hii ndio Orodha kamili. 1.Cristiano Ronaldo - football ($88m/£60.6m) 2. Lionel Me… Read More
  • MJUE ERIC BAILLY NYOTA ALIYETUA MAN U Klabu ya Manchester United imefanikiwa kumsajili Eric Bailly kutoka katika klabu ya Villarreal, Soka24 inakujuza kiundani zaidi kuhusu mchezaji huyu. JINA KAMILI; Eric Bertrand Bailly KUZALIWA; April 12, 1994 MAHALA ALIPO… Read More
  • MESSI HANA HARAKA YA KUONGEZA MKATABA BARCELONA Supastaa wa soka duniani Lionel Messi hajaanza mazungumzo ya kuongeza mkataba wake uliosalia miaka 2 katika klabu yake ya Barcelona. Barcelona hawajaanza mazungumzo ya kuongeza mkataba wa Messi unaomalizika miaka 2 ijayo.… Read More
  • MATOKEO COPA AMERICA IJUMAA JUNI 10, 2016COPA AMERICA CONTENARIO 2016 MATOKEO  Mexico 2-0 Jamaica Chicharito 18' Peralta 81' Uruguay 0-1 Venezuela                    Rondon 36' LEO Chile vs Bolivia A… Read More
  • DANIEL AGGER ATANGAZA KUACHANA NA SOKA Beki wa zamani wa klabu ya Liverpool Daniel Agger ametangaza kustahafu kucheza soka leo alhamisi Juni 9, 2016 akiwa na umri wa miaka 31. Beki huyo aliyefanikiwa kuichezea timu yake ya taifa ya Denmark mechi 71 alishare ta… Read More

0 comments:

Post a Comment