Friday, April 15, 2016

Guardiola Azima Ndoto Za Christiano Ronaldo Nusu Fainali UEFA


kocha huyo wa Bayern Muchen amemwomba msamaha mshambuliaji huyo wa Ureno na Klabu ya Real Madrid Christiano Ronaldo kufuatia kile alichokiita Guardiola kuzima ndoto za Ronaldo nusu Fainali ya UEFA Champions.

Bayern iliwaondosha Benfica katika hatua ya robo fainali baada ya sare ya 2 - 2 iliyoipata Bayern ikiwa ugenini.

Kabla ya mechi hiyo kati ya Benfica na Bayern Muchen Christiano Ronaldo alinukuliwa akisema anaamini atakutana na klabu ya Benfica katika hatua ya nusu faili. CR7 aliyasema hayo akiamini kuwa Benfica wangeweza kuindosha Bayern klabu inayonolewa na Guardiola.

Baada ya Bayern kuisambaratisha Benfica Guardiola alitoa salamu za pole kwa Christiano Ronaldo kufuatia timu yake hiyo aliyokaipa nafasi ya kuiondosha Bayern kuondolewa katika michuano hiyo.

"Najua Ronaldo alitamani sana kukutana na Benfica katika hatua ya nusu fainali, hivyo nampa pole kwa hilo" alisema Guardiola

Related Posts:

  • USIPITWE NA HAYA MAMBO MUHIMU USAJILI LIGI KUU UINGEREZA 2016-17 Klabu za Ligi ya Premia zilitumia zaidi ya £155m siku ya mwisho ya kuhama kwa wachezaji kipindi cha majira ya joto na kufikisha jumla ya pesa zilizotumiwa hadi rekodi mpya ya £1.165bn. Klabu zilikuwa tayari zimetumia j… Read More
  • YAYA TOURE ATUPWA NJE YA KIKOSI CHA MAN CITY Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amemwacha nje kiungo wa kati wa timu hiyo yaya Toure katika kikosi chake cha kombe la vilabu bingwa Ulaya mwaka 2016-17. City haikuweza kuweka zaidi ya wachezaji 17 wa kigeni katika kik… Read More
  • Rasmi:Samir Nasri Atua Sevilla Manchester City imetangaza kuwa Samir Nasri amejiunga na klabu ya Sevilla kwa Mkopo. Endelea Kuungana Na Soka24 kwa habari za papo kwa papo za Soka kote Ulimwenguni............. ================== Stori Kubwa Zinazotikisa… Read More
  • GARETH BALE HAJALI KUFUNIKWA NA POGBA Mchezaji wa Real Madrid Gareth Bale anasema kuwa hashtushwi na hatua ya kupoteza taji la kuwa mchezaji ghali zaidi duniani alilopoteza kwa Paul Pogba. Bale alipoteza taji hilo kwa Pogba baada ya miaka mitatu kufuatia hatu… Read More
  • Fifa Yaleta Waraka Mpya Wa Usajili Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), limesambaza waraka mpya kwa wanachama wake, likiwamo Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ukisema mameneja wote wa usajili wa wachezaji kwa mfumo wa Mtandao (TMS-Trans… Read More

0 comments:

Post a Comment