Saturday, February 4, 2017

Serengeti Boys hiyooo AFCON U17, 2017

                                                          Serengeti Boys
Akizungumza na TBC waziri wa michezo Mh Nape Nnauye alisema Serengeti Boys wameshinda rufaa yao na hivyo watashiriki Mataifa ya Afrika mapema mwaka huu.
                                              Langa-Lesse Bercy
Ni furaha ndermo na vifijo kwa watanzania wote na afrika mashariki yote baada ya shirikisho la soka Afrika(CAF) kupitia kamati yake tendaji  kuipa ushindi timu ya taifa ya vijana serengeti Boys katika kesi ya kupinga umri wa kijeba wa timu ya U17 ya Congo Brazzaville Langa-Lesse Bercy

Ikumbukwe srengeti boys ilitolewa na Congo kwa faida ya goli la ugenini, mchezo uliofanyika Dar es salaam boys waliitandika Congo 3-2 na mchezo wa marudiano Congo waliibuka na ushindi wa 1- 0
Serengeti boys imeweka kambi katika hostel za TFF karume jijini Dar es salaam kujiandaa na mashindano hayo

0 comments:

Post a Comment