Saturday, July 16, 2016

CHEKI MKOKO MPYA WA CRISTIANO RONALDO

Cristiano Ronaldo "CR7" ameamua kujipongeza kufuatia ushindi walioupata katika michuano ya Euro 2016 kwa kununua gari jipya la kifahari aina ya Bugatti Veyron.



 Ronaldo alilipost Gari hilo katika akaunti yake ya Instagram na kuandika maneno "The Animal Arrive" akiwa na maana "Mnyama kawasili"

Related Posts:

  • MJUE ERIC BAILLY NYOTA ALIYETUA MAN U Klabu ya Manchester United imefanikiwa kumsajili Eric Bailly kutoka katika klabu ya Villarreal, Soka24 inakujuza kiundani zaidi kuhusu mchezaji huyu. JINA KAMILI; Eric Bertrand Bailly KUZALIWA; April 12, 1994 MAHALA ALIPO… Read More
  • DANIEL AGGER ATANGAZA KUACHANA NA SOKA Beki wa zamani wa klabu ya Liverpool Daniel Agger ametangaza kustahafu kucheza soka leo alhamisi Juni 9, 2016 akiwa na umri wa miaka 31. Beki huyo aliyefanikiwa kuichezea timu yake ya taifa ya Denmark mechi 71 alishare ta… Read More
  • URENO YAICHAPA ESTONIA 7 - 0, RONALDO AWEKA REKODI Christiano Ronaldo amefunga magoli mawili katika mchezo huo wa kujiandaa na michuano ya Euro 2016, magoli aliyofunga katika dakika ya 36' na 45. Magoli mengine yalifungwa na Ricardo Quaresma naye pia akifunga mawili dakik… Read More
  • MESSI HANA HARAKA YA KUONGEZA MKATABA BARCELONA Supastaa wa soka duniani Lionel Messi hajaanza mazungumzo ya kuongeza mkataba wake uliosalia miaka 2 katika klabu yake ya Barcelona. Barcelona hawajaanza mazungumzo ya kuongeza mkataba wa Messi unaomalizika miaka 2 ijayo.… Read More
  • CHRISTIANO RONALDO AMDONDOSHA MAYWEATHER Christiano Ronaldo amemshusha Floyd Mayweather katika orodha ya wanamichezo wanaolipwa zaidi duniani iliyotolewa jana na jarida la Forbes. Hii ndio Orodha kamili. 1.Cristiano Ronaldo - football ($88m/£60.6m) 2. Lionel Me… Read More

0 comments:

Post a Comment