Klabu ya Everton ipo tayari kukaa kikao leo na kujadili
hatima ya kocha wa timu hiyo Roberto Martinez.
Martinez amezungumza jana kuwa Bodi ya Everton iko sahihi
kujadili hatima yake kufuatia mwenendo mbovu wa timu hiyo.

Martinez ambae alikuwa na misimu mizuri sana katika klabu za
Swansea City na Wigan Athletic kabla hajajiunga na Everton ni wazi kuwa
ataonyeshwa mlango wa kutokea na wamiliki wa timu hiyo Farhad Moshiri na
mwenyekiti Bill Kenwright sambamba na jopo zima la bodi ya timu hiyo kufuatia
kiwango kibovu cha timu hiyo iliyochini ya Mhispania huyo mwenye umri wa miaka
42.
Pata habari za michezo kwa haraka zaidi kupitia soka24.blogspot.com
Pata habari za michezo kwa haraka zaidi kupitia soka24.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment