baada ya michezo ya wikiendi timu nyingi zimekamilisha raundi ya
kwanza baada ya kumaliza michezo 15 na timu sita zimebaki ambapo zitashuka
viwanja tofauti siku ya kesho jumatano novemba 9 ili kuhitimisha raundi hiyo.
Jiji Dar es salaam
katika dimba la Uhuru wenyeji Dar es salaam Young Africans wataikaribisha timu
ya Ruvu Shooting ya Mlandizi mkoani pwani.
Huko shinyanga timu ya Mwadui FC
wataikaribisha timu ya Azam FC
wakati huko Mbeya maafande wa Tanzania Prisons
wataialika simba ya Dar es salaam.
msimamo wa ligi hiyo mpka sasa ni kama
ifuatavyo:
0 comments:
Post a Comment