Saturday, October 15, 2016

MATOKEO LIGI KUU BARA LEO SIMBA YATAKATA UHURU


Simba imeendeleza wimbi lake la ushindi msimu huu baada ya  leo kuifunga timu ngumu ya kagera sugar ya mkoani kagera katika mchezo ulichezwa uwanja wa Uhuru jiji Dar es salaam, na hii inamainisha samba imeshinda mchezo wake wa saba kati ya michezo 9 iliyocheza mpka sasa. Kikubwa leo ni mshambuliaji machachari sana wa simba shiza kichuya akiweka rekodi ya kufunga mechi ya tano mfululizo na kusababisha goli laa kwanza la la muzamir yassin baada ya kupiga kona ilyotua kichwani mwa mfungaji na kumuacha kipa ya kagera akiruka bila malengo.
Matokeo ni kama yanavyooneka hapa chini  
Simba 2 0 kagera  yassin, kichuya
Jkt ruvu 1  1 mwadui

Stand united 1 1 African lyon


0 comments:

Post a Comment