Showing posts with label Matokeovpl. Show all posts
Showing posts with label Matokeovpl. Show all posts
Sunday, January 21, 2018
Wednesday, March 1, 2017
Ruvu Shooting 0 - 2 Yanga SC , goli la Emanuel Marthin laacha gumzo Taifa
Yanga waiadhibu Ruvu Shooting 2 - 1 uwanja wa Taifa.
kikosi cha yanga kikitoka kujeruhiwa na mnyama Simba leo katika dimba la uwanja wa Taifa jiji Dar es salaam wamekata ngebe za msemaji machachari wa Ruvu Masao Bwire.
Msemaji huyo alikaririwa na vyombo mbalimbali vya habari jana akitoa maneno makali na yenye msisimko pale aliposema "Yanga alishauliwa lakini hajazikwa hivyo kesho lazima tuzike".
ikiwa imefanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi chake cha leo kwa kuwaanzisha Hassan Ramadhani Kessy, Nadir Haroub Canavaro, Vincent Bossou, . Deus Kaseke, Geoffrey Mwashuiya, iliwachukua dakika 30 ndipo walipopata penati baada ya mlinzi wa Ruvu kuunawa mpira uliopigwa na Obrey Chirwa.
mwamuzi aliamuru ipigwe penati na Saimon Msuva aliipa Yanga uongozi wa goli moja na goli lake la 12 msimu huu.
dakika ya 45 Obrey Chirwa alifunga goli safi kwa kichwa lakini Mwamuzi alilikataa goli hilo na kumpa kadi ya njano kabla ya 46' kumtoa nje kwa kosa la kumdharau mwamuzi.
Mpaka mapumziko mwenyeji Ruvu Shooting 0 - Yanga SC 1.
Kipindi cha pili Ruvu walikuja kwa nguvu na kukosa nafasi nyingi za wazi,
dakika ya 93 Emanuel Marthin alifunga goli saafi kwa kichwa baada ya krosi safi kutoka upande wa kulia iliyochongwa na Msuva.
mpaka mwisho wa mchezo Ruvu Shooting 0 - Yanga SC 2.
kwa matokeo hayo Yanga wamefikisha alama 52 katika michezo 23 wakiwa nafasi ya pili nyuma ya vinara Simba wenye 54 baada ya michezo 23.
Saturday, February 11, 2017
Sunday, January 29, 2017
Sunday, April 17, 2016
Mnyama Achinjwa Taifa
Timu ya soka ya Simba imezidi kupoteza matumaini ya kunyakua ubingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara baada ya kukubali kichapo cha Goli 1 - 0 toka kwa Toto Africans ya Mwanza.Katika mchezo huo ambao wadau wengi wa soka waliipa Simba nafasi ya ushindi, kibao kiligeuka na kujikuta wakizidiwa kila idara na mapema katika dakika ya 20 mchezaji Wazir Junior alifanikiwa kupachika goli safi na laushindi kwa timu yake ya Toto Africans.
Mpaka mpira unakwisha Toto Africans walikuwa wanaongoza kwa goli 1 dhidi ya Simba
LIVE KUTOKA TAIFA - FUATILIA LIVE MCHEZO KATI YA SIMBA NA TOTO AFRICANS
HALF TIME
MATOKEO:
SIMBA 0 - 1 TOTO AFRICANS
Mfungaji: Wazir Junior
========
KIPINDI CHAPILI KIMEANZA
MATOKEO:
Mfungaji: Wazir Junior
========
KIPINDI CHAPILI KIMEANZA
Dakika ya 47: beki wa Simba, Hassan Kessy anapewa kadi nyekundu kwa kumchezea faulo, Edward Christopha
FULL TIMEMATOKEO:
SIMBA 0 - 1 TOTO AFRICANS
Kwamara nyingine mnyama anauwawa kikatili na kuzidi kupoteza matumaini ya ubingwa msimu huu..........
Saturday, April 16, 2016
Yanga Yapaa Kileleni
Mchezo kati ya Yanga na Mtibwa Umemalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa goli 1 - 0 dhidi ya Mtibwa Sugar goli liliofungwa na Simon Msuva dakika ya 46'.
Kwa matokeo haya Yanga inakaa kileleni kwa jumla ya pointi 59 dhidi ya 57 za simba
Kwa matokeo haya Yanga inakaa kileleni kwa jumla ya pointi 59 dhidi ya 57 za simba
Wednesday, April 6, 2016
Matokeo Ligi Kuu Bara
Matokeo Ligi Kuu Tanzania Bara
|
Azam FC
|
2 - 0
|
Majimaji
|
|
Young Africans
|
2 - 1
|
Mgambo JKT
|
|
Simba SC
|
0 - 1
|
Toto Africans
|
|
Young Africans
|
1 - 0
|
Mtibwa Sugar
|
|
Coastal Union
|
1 - 0
|
JKT Ruvu
|
|
Ndanda FC
|
2 - 0
|
Kagera Sugar
|
|
Mtibwa Sugar
|
0 - 1
|
Azam FC
|
|
Young Africans
|
2 - 1
|
Mwadui FC
|
|
Toto Africans
|
1 - 2
|
Majimaji
|
|
Mgambo JKT
|
0 - 1
|
Mbeya City
|
|
Ndanda FC
|
2 - 1
|
Mwadui FC
|
|
African Sports
|
1 - 0
|
Kagera Sugar
|
|
Mtibwa Sugar
|
1 - 1
|
Tanzania Prisons
|
|
Azam FC
|
2 - 2
|
Ndanda FC
|
|
Majimaji
|
2 - 0
|
Coastal Union
|
|
Young Africans
|
3 - 1
|
Kagera Sugar
|
|
Toto Africans
|
1 - 1
|
Azam FC
|
|
Stand United
|
2 - 0
|
Mgambo JKT
|




















